Maandamano ya kumsindikiza Sr.Getrude Sekagali kwenye Makao ya milele
Katika maandamano ya kumsindikiza Sr.Getrude Sekagali kwenye Makao ya milele
Kuzaliwa 06.Februari 1916 Tosamaganga
Amefariki 31. July. 2018 mwenye umri wa miaka 102 na miezi 7
Nadhiri za kitawa miaka 82. Ni mmoja kati ya wasichana 12 wa kwanza kuingia
Shirika la Mabikira Wateresina katika Nyumba Asili Tosamaganga.
Ee Mungu tunakusifu, tunakuabudu , tunakushukuru ,tunakutukuza na tunakiri kuwa wewe
Ndiwe mweza wa yote