UJIO WA ASKOFU ANTHONY FALLAH BORWAH KUTOKA LIBERIA

 Mhashamu Askofu Anthony Fallah Borwah akiwa na mwenyeji wake Mhashamu Askofu T Ngalalekumtwa pamoja na Mama Mkuu CST na wanajubilei baada ya misa ya tarehe 08. Des.2018.

 Makaribisho ya Askofu Anthony kadiri ya utamaduni wa wanairinga.Amekaa kwenye kigoda mbele yake wazee wawili wakiwa tayari kumvalisha migolole ya kihehe.

 Hiyo ni hatua ya kwanza kuvaa nguo hiyo kichwani kama anavyoonekana.

 Hatua ya pili anavalishwa lubega ndiyo mtindo wa wazee wa kihehe.Asante Mzee Malangalila kwa kuuenzi utamaduni wa Wahehe.

 Karibu sana nyumbani kwa Wateresina Baba Anthony. Ni maandamano ya kuanza misa ya shukrani kwa Mungu kwa ujio wa Mzee wetu.

 Shamra shamra baada ya misa ya shukrani kwa pamoja kifamilia.

 Katika kituo cha watoto Yatima Tosamaganga.

 Fahari ya Taifa ni mbuga za wanyama. Hapa tukiwa na mgeni wetu baada ya kutoka ndani ya hifadhi ya Ruaha National Park.Tunamwombea afya njema na safari njema ya kurudi Liberia.

 

Visitors Counter

148496
Today
Yesterday
This Week
Last Week
This Month
Last Month
All days
120
38
819
147081
284
2649
148496

PRAYERS

Our Father

Our Father, Who art in Heaven, hallowed be Thy name; Thy Kingdom come, Thy will be done on earth as it is in Heaven. Give us this day our daily bread; and forgive us our trespasses as we forgive those who trespass against us; and lead us not into temptation, but deliver us from evil. Amen.

Prayer for a Sick Person

Almighty and Eternal God, You are the everlasting health of those who believe in You. Hear us for Your sick servant (N...) for whom we implore the aid of Your tender mercy, that being restored to bodily health, he (she) may give thanks to You in Your Church. Through Christ our Lord.

Hail Mary

Hail Mary, full of grace. Our Lord is with you. Blessed are you among women, and blessed is the fruit of your womb,Jesus. Holy Mary, Mother of God, pray for us sinners, now and at the hour of our death. Amen.

Login Form